2 Wakorintho 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana ikiwa tulikuwa tumerukwa na akili+ yetu, ilikuwa ni kwa ajili ya Mungu; ikiwa tuna utimamu wa akili,+ ni kwa ajili yenu. 2 Wakorintho 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nimekuwa mtu asiye na akili. Ninyi mlinilazimisha+ kuwa hivyo, kwa maana ninyi mlipaswa kunipendekeza. Kwa maana hata katika jambo moja sikuwa mdogo kwa mitume wenu walio bora sana,+ hata kama mimi si kitu.+
13 Kwa maana ikiwa tulikuwa tumerukwa na akili+ yetu, ilikuwa ni kwa ajili ya Mungu; ikiwa tuna utimamu wa akili,+ ni kwa ajili yenu.
11 Nimekuwa mtu asiye na akili. Ninyi mlinilazimisha+ kuwa hivyo, kwa maana ninyi mlipaswa kunipendekeza. Kwa maana hata katika jambo moja sikuwa mdogo kwa mitume wenu walio bora sana,+ hata kama mimi si kitu.+