Waebrania 10:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa maana mnahitaji kuwa na uvumilivu,+ ili kwamba, baada ya kufanya mapenzi ya Mungu,+ mpokee utimizo wa ile ahadi.+ 2 Yohana 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Jihadharini, msije mkapoteza mambo ambayo sisi tumefanya kazi ili kuyatokeza, bali mpate thawabu kamili.+
36 Kwa maana mnahitaji kuwa na uvumilivu,+ ili kwamba, baada ya kufanya mapenzi ya Mungu,+ mpokee utimizo wa ile ahadi.+
8 Jihadharini, msije mkapoteza mambo ambayo sisi tumefanya kazi ili kuyatokeza, bali mpate thawabu kamili.+