2 Yohana 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ijapokuwa nina mambo mengi ya kuwaandikia ninyi, sitaki kufanya hivyo kwa karatasi na wino,+ lakini ninatumaini kuja kwenu na kusema nanyi uso kwa uso,+ ili shangwe+ yenu iwe kamili.+
12 Ijapokuwa nina mambo mengi ya kuwaandikia ninyi, sitaki kufanya hivyo kwa karatasi na wino,+ lakini ninatumaini kuja kwenu na kusema nanyi uso kwa uso,+ ili shangwe+ yenu iwe kamili.+