Matendo 20:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Alipokuwa amesema mambo haya, akapiga magoti+ pamoja nao wote na kusali. Waefeso 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Abarikiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo,+ kwa kuwa ametubariki+ kwa kila aina ya baraka ya kiroho katika mahali pa kimbingu+ katika muungano na Kristo,
3 Abarikiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo,+ kwa kuwa ametubariki+ kwa kila aina ya baraka ya kiroho katika mahali pa kimbingu+ katika muungano na Kristo,