17 Ndipo akavaa uadilifu kama vazi la chuma,+ na kofia ya chuma ya wokovu juu ya kichwa chake.+ Zaidi ya hayo, alivaa nguo za kisasi kama mavazi+ na kujifunga kwa bidii kana kwamba ni koti lisilo na mikono.+
8 Lakini kwa habari yetu sisi tulio wa mchana, na tutunze akili zetu na kuvaa bamba la kifuani+ la imani+ na upendo na lile tumaini la wokovu+ kama kofia ya chuma;+