6 Kwa maana Mungu ndiye aliyesema: “Nuru na iangaze kutoka katika giza,”+ naye ameangaza juu ya mioyo yetu ili kuimulika+ kwa ujuzi+ wenye utukufu juu ya Mungu kwa uso wa Kristo.+
8 Mimi, niliye mtu mdogo kuliko aliye mdogo+ zaidi kati ya watakatifu wote, nilipewa fadhili hizi zisizostahiliwa,+ ili niwatangazie mataifa+ habari njema juu ya utajiri+ usiopimika wa Kristo