Waroma 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana tunajua kwamba Sheria ni ya kiroho;+ lakini mimi ni wa kimwili, nimeuzwa chini ya dhambi.+ Waebrania 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa kuwa Sheria ina kivuli+ cha mambo mema yatakayokuja, lakini si umbo halisi la mambo hayo, watu hawawezi kamwe kuwafanya wale wanaokaribia kuwa wakamilifu+ kwa dhabihu zilezile mwaka baada ya mwaka ambazo wao huendelea kuzitoa.
14 Kwa maana tunajua kwamba Sheria ni ya kiroho;+ lakini mimi ni wa kimwili, nimeuzwa chini ya dhambi.+
10 Kwa kuwa Sheria ina kivuli+ cha mambo mema yatakayokuja, lakini si umbo halisi la mambo hayo, watu hawawezi kamwe kuwafanya wale wanaokaribia kuwa wakamilifu+ kwa dhabihu zilezile mwaka baada ya mwaka ambazo wao huendelea kuzitoa.