Yohana 6:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Hakuna mtu anayeweza kuja kwangu isipokuwa Baba, aliyenituma, amvute;+ nami nitamfufua siku ya mwisho.+ 2 Wakorintho 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Paulo, mtume+ wa Kristo Yesu kupitia mapenzi ya Mungu, na Timotheo+ ndugu yetu kwa kutaniko la Mungu lililo katika Korintho, pamoja na watakatifu+ wote walio katika Akaya+ yote:
44 Hakuna mtu anayeweza kuja kwangu isipokuwa Baba, aliyenituma, amvute;+ nami nitamfufua siku ya mwisho.+
1 Paulo, mtume+ wa Kristo Yesu kupitia mapenzi ya Mungu, na Timotheo+ ndugu yetu kwa kutaniko la Mungu lililo katika Korintho, pamoja na watakatifu+ wote walio katika Akaya+ yote: