19 kwa nguvu za ishara na mambo ya ajabu,+ kwa nguvu za roho takatifu; hivi kwamba kutoka Yerusalemu na kuzunguka+ mpaka Ilirikamu nimehubiri kikamili habari njema juu ya Kristo.+
25 Mimi nilikuja kuwa mhudumu+ wa kutaniko hili kwa kupatana na usimamizi-nyumba+ kutoka kwa Mungu niliopewa kwa faida yenu ili kulihubiri neno la Mungu kwa ukamili,