2 Wakorintho 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndiyo sababu sisi tumefarijiwa. Hata hivyo, kwa kuongezea faraja yetu sisi tulishangilia kwa wingi hata zaidi kwa sababu ya shangwe ya Tito, kwa sababu roho+ yake imeburudishwa na ninyi nyote.
13 Ndiyo sababu sisi tumefarijiwa. Hata hivyo, kwa kuongezea faraja yetu sisi tulishangilia kwa wingi hata zaidi kwa sababu ya shangwe ya Tito, kwa sababu roho+ yake imeburudishwa na ninyi nyote.