Luka 1:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 naye atatawala akiwa mfalme juu ya nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”+ Waebrania 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 ambaye amekuwa hivyo, si kulingana na sheria ya amri inayotegemea mwili,+ bali kulingana na nguvu za uzima usioweza kuharibika,+ Waebrania 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yesu Kristo ni yuleyule jana na leo, na milele.+
16 ambaye amekuwa hivyo, si kulingana na sheria ya amri inayotegemea mwili,+ bali kulingana na nguvu za uzima usioweza kuharibika,+