Kutoka 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Naye mtoto akakua. Kisha akamleta kwa binti ya Farao, hivi kwamba akawa mwana kwake;+ naye akamwita jina lake Musa na kusema: “Ni kwa sababu nimemtoa majini.”+ Matendo 7:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini alipotupwa, binti ya Farao akamwokota na kumlea kama mwana wake mwenyewe.+
10 Naye mtoto akakua. Kisha akamleta kwa binti ya Farao, hivi kwamba akawa mwana kwake;+ naye akamwita jina lake Musa na kusema: “Ni kwa sababu nimemtoa majini.”+