Mathayo 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sura yake ikageuka mbele yao, na uso wake ukang’aa kama jua,+ na mavazi yake ya nje yakang’aa kama nuru.+ 2 Wakorintho 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana ikiwa sheria zilizotoa hukumu ya hatia+ zilikuwa zenye utukufu,+ basi kutolewa kwa uadilifu+ kunakuwa kwenye utukufu mwingi zaidi.+
2 Sura yake ikageuka mbele yao, na uso wake ukang’aa kama jua,+ na mavazi yake ya nje yakang’aa kama nuru.+
9 Kwa maana ikiwa sheria zilizotoa hukumu ya hatia+ zilikuwa zenye utukufu,+ basi kutolewa kwa uadilifu+ kunakuwa kwenye utukufu mwingi zaidi.+