Mathayo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo Yesu akamwambia: “Nenda zako, Shetani! Kwa maana imeandikwa, ‘Yehova Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu,+ na yeye peke yake+ ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’ ”+ Mathayo 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Ibilisi akamwacha,+ na, tazama! malaika wakaja na kuanza kumhudumia.+ Luka 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo Ibilisi, akiisha kumaliza majaribu yote, akamwacha mpaka wakati mwingine unaofaa.+
10 Ndipo Yesu akamwambia: “Nenda zako, Shetani! Kwa maana imeandikwa, ‘Yehova Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu,+ na yeye peke yake+ ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’ ”+