1 Petro 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana kuna sifa gani katika jambo ikiwa mnapofanya dhambi na kupigwa makofi, mnavumilia?+ Lakini ikiwa, mnapotenda mema na kuteseka,+ mnavumilia, jambo hilo ni lenye kukubalika kwa Mungu.+
20 Kwa maana kuna sifa gani katika jambo ikiwa mnapofanya dhambi na kupigwa makofi, mnavumilia?+ Lakini ikiwa, mnapotenda mema na kuteseka,+ mnavumilia, jambo hilo ni lenye kukubalika kwa Mungu.+