Marko 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 na sauti ikaja kutoka mbinguni: “Wewe ni Mwanangu, mpendwa; nimekukubali wewe.”+ Luka 9:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na sauti ikatoka katika lile wingu,+ ikisema: “Huyu ni Mwanangu, ambaye amechaguliwa.+ Msikilizeni.”+ Yohana 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Baba, litukuze jina lako.” Kwa hiyo sauti+ ikaja kutoka mbinguni: “Nimelitukuza na pia nitalitukuza tena.”+
35 Na sauti ikatoka katika lile wingu,+ ikisema: “Huyu ni Mwanangu, ambaye amechaguliwa.+ Msikilizeni.”+
28 Baba, litukuze jina lako.” Kwa hiyo sauti+ ikaja kutoka mbinguni: “Nimelitukuza na pia nitalitukuza tena.”+