Yohana 20:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Lakini haya yameandikwa+ ili mpate kuamini kwamba Yesu ndiye Kristo Mwana wa Mungu, na kwamba, kwa sababu ya kuamini,+ mpate kuwa na uzima kupitia jina lake. 1 Yohana 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa kweli, hii ndiyo amri yake, kwamba tuwe na imani katika jina la Mwana wake Yesu Kristo+ na tuwe tukipendana,+ kama yeye alivyotupa sisi amri.
31 Lakini haya yameandikwa+ ili mpate kuamini kwamba Yesu ndiye Kristo Mwana wa Mungu, na kwamba, kwa sababu ya kuamini,+ mpate kuwa na uzima kupitia jina lake.
23 Kwa kweli, hii ndiyo amri yake, kwamba tuwe na imani katika jina la Mwana wake Yesu Kristo+ na tuwe tukipendana,+ kama yeye alivyotupa sisi amri.