Ufunuo 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na yule aliyeketi, kuonekana kwake+ ni kama jiwe la yaspi+ na jiwe jekundu la thamani, na upinde wa mvua+ ambao kuonekana kwake ni kama zumaridi+ unakizunguka kile kiti cha ufalme. Ufunuo 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 na likiwa na utukufu wa Mungu.+ Mwangaza wake ulikuwa kama jiwe la thamani zaidi, kama jiwe la yaspi lenye kung’aa kwa uangavu kama fuwele.+
3 Na yule aliyeketi, kuonekana kwake+ ni kama jiwe la yaspi+ na jiwe jekundu la thamani, na upinde wa mvua+ ambao kuonekana kwake ni kama zumaridi+ unakizunguka kile kiti cha ufalme.
11 na likiwa na utukufu wa Mungu.+ Mwangaza wake ulikuwa kama jiwe la thamani zaidi, kama jiwe la yaspi lenye kung’aa kwa uangavu kama fuwele.+