Waroma 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa upande wake, Mungu anayetoa amani+ atamponda Shetani+ chini ya miguu yenu upesi. Fadhili zisizostahiliwa za Bwana wetu Yesu na ziwe pamoja nanyi.+ 2 Wathesalonike 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Fadhili zisizostahiliwa+ za Bwana wetu Yesu Kristo na ziwe pamoja nanyi nyote.
20 Kwa upande wake, Mungu anayetoa amani+ atamponda Shetani+ chini ya miguu yenu upesi. Fadhili zisizostahiliwa za Bwana wetu Yesu na ziwe pamoja nanyi.+