Mwanzo 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na jina la mto wa tatu ni Hidekeli;+ ndio unaoelekea upande wa mashariki wa Ashuru.+ Na mto wa nne ni Efrati.+ Ufunuo 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na yule wa sita+ akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa Efrati,+ na maji yake yakakauka,+ ili njia itayarishwe kwa ajili ya wafalme+ wanaotoka mashariki. Ufunuo 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye ananiambia: “Yale maji uliyoyaona, ambapo yule kahaba anaketi, yanamaanisha vikundi vya watu na umati na mataifa na lugha.+
14 Na jina la mto wa tatu ni Hidekeli;+ ndio unaoelekea upande wa mashariki wa Ashuru.+ Na mto wa nne ni Efrati.+
12 Na yule wa sita+ akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa Efrati,+ na maji yake yakakauka,+ ili njia itayarishwe kwa ajili ya wafalme+ wanaotoka mashariki.
15 Naye ananiambia: “Yale maji uliyoyaona, ambapo yule kahaba anaketi, yanamaanisha vikundi vya watu na umati na mataifa na lugha.+