Luka 13:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Hata hivyo, lazima niende zangu leo na kesho na siku inayofuata, kwa sababu haikubaliki nabii kuangamizwa nje ya Yerusalemu.+ Waebrania 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo Yesu pia, ili apate kuwatakasa+ watu kwa damu+ yake mwenyewe, aliteseka nje ya lango.+
33 Hata hivyo, lazima niende zangu leo na kesho na siku inayofuata, kwa sababu haikubaliki nabii kuangamizwa nje ya Yerusalemu.+