Mathayo 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sura yake ikageuka mbele yao, na uso wake ukang’aa kama jua,+ na mavazi yake ya nje yakang’aa kama nuru.+ Ufunuo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na katika mkono wake wa kuume kulikuwa na nyota saba,+ na kutoka katika kinywa chake upanga mkali, mrefu na wenye makali kuwili+ ulikuwa umechomoka, na sura yake ilikuwa kama jua linapoangaza katika nguvu zake.+
2 Sura yake ikageuka mbele yao, na uso wake ukang’aa kama jua,+ na mavazi yake ya nje yakang’aa kama nuru.+
16 Na katika mkono wake wa kuume kulikuwa na nyota saba,+ na kutoka katika kinywa chake upanga mkali, mrefu na wenye makali kuwili+ ulikuwa umechomoka, na sura yake ilikuwa kama jua linapoangaza katika nguvu zake.+