Mwanzo 40:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Sasa siku ya tatu ilikuwa sikukuu ya kuzaliwa kwa Farao,+ kwa hiyo aliwafanyia karamu watumishi wake wote, akamtoa gerezani msimamizi mkuu wa vinywaji na mwokaji mkuu, akawaleta mbele ya watumishi wake. Mwanzo 40:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini akamtundika mwokaji mkuu, kama Yosefu alivyokuwa ameeleza.*+
20 Sasa siku ya tatu ilikuwa sikukuu ya kuzaliwa kwa Farao,+ kwa hiyo aliwafanyia karamu watumishi wake wote, akamtoa gerezani msimamizi mkuu wa vinywaji na mwokaji mkuu, akawaleta mbele ya watumishi wake.