Mwanzo 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kisha Mungu akasema: “Na tufanye+ mtu kwa mfano+ wetu, kulingana na sura+ yetu, nao watawale samaki wa baharini na viumbe wanaoruka angani na wanyama wa kufugwa na dunia yote na kila mnyama anayetambaa duniani.”+ Yakobo 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa ulimi tunamsifu Yehova,* aliye Baba, na bado kwa ulimi tunawalaani wanadamu ambao wameumbwa “kwa mfano wa Mungu.”+
26 Kisha Mungu akasema: “Na tufanye+ mtu kwa mfano+ wetu, kulingana na sura+ yetu, nao watawale samaki wa baharini na viumbe wanaoruka angani na wanyama wa kufugwa na dunia yote na kila mnyama anayetambaa duniani.”+
9 Kwa ulimi tunamsifu Yehova,* aliye Baba, na bado kwa ulimi tunawalaani wanadamu ambao wameumbwa “kwa mfano wa Mungu.”+