Mwanzo 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ndipo mwanamume huyo akasema: “Hatimaye huyu ni mfupa wa mifupa yanguNa nyama ya nyama yangu. Huyu ataitwa Mwanamke,Kwa sababu alitolewa+ katika mwanamume.” Isaya 45:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Niliiumba dunia+ na kumuumba mwanadamu juu yake.+ Nilizitandaza mbingu kwa mikono yangu mwenyewe,+Nami ninaliamuru jeshi lake lote.”+ Mathayo 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Akawajibu: “Je, hamkusoma kwamba yule aliyewaumba tangu mwanzo aliwaumba mwanamume na mwanamke+
23 Ndipo mwanamume huyo akasema: “Hatimaye huyu ni mfupa wa mifupa yanguNa nyama ya nyama yangu. Huyu ataitwa Mwanamke,Kwa sababu alitolewa+ katika mwanamume.”
12 Niliiumba dunia+ na kumuumba mwanadamu juu yake.+ Nilizitandaza mbingu kwa mikono yangu mwenyewe,+Nami ninaliamuru jeshi lake lote.”+