Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 89:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Ni mwanadamu gani anayeweza kuishi na asione kifo kamwe?+

      Je, anaweza kujiokoa mwenyewe* kutoka katika nguvu za Kaburi?* (Sela)

  • Mhubiri 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Jambo lolote unalofanya kwa mkono wako, lifanye kwa nguvu zako zote, kwa sababu hakuna kazi wala mipango wala ujuzi wala hekima Kaburini,*+ mahali unapokwenda.

  • Hosea 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nitawakomboa kutoka katika nguvu za Kaburi;*

      Nitawaokoa kutoka katika kifo.+

      Ewe Kifo, yako wapi maumivu yako makali?*+

      Ewe Kaburi, yako wapi maangamizi yako?+

      Macho yangu yatazuiwa yasione huruma.

  • Matendo 2:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 kwa sababu hutaniacha* Kaburini,* wala hutamruhusu mshikamanifu wako aone uharibifu.*+

  • Ufunuo 20:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na bahari ikawatoa wafu waliokuwa ndani yake, na kifo na Kaburi* vikawatoa wafu waliokuwa ndani yake, nao wakahukumiwa kila mmoja kulingana na matendo yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki