Mwanzo 42:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hivi ndivyo mtakavyojaribiwa: Kwa hakika kama Farao anavyoishi, hamtatoka mahali hapa mpaka ndugu yenu mdogo atakapokuja.+ Mwanzo 43:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Alipoinua macho yake na kumwona Benjamini ndugu yake, mwana wa mama yake,+ akasema: “Je, huyu ndiye ndugu yenu mdogo mliyeniambia habari zake?”+ Kisha akamwambia: “Mungu na akupe kibali chake, mwanangu.”
15 Hivi ndivyo mtakavyojaribiwa: Kwa hakika kama Farao anavyoishi, hamtatoka mahali hapa mpaka ndugu yenu mdogo atakapokuja.+
29 Alipoinua macho yake na kumwona Benjamini ndugu yake, mwana wa mama yake,+ akasema: “Je, huyu ndiye ndugu yenu mdogo mliyeniambia habari zake?”+ Kisha akamwambia: “Mungu na akupe kibali chake, mwanangu.”