Mwanzo 43:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Basi wakampa Yosefu chakula chake na ndugu zake chakula chao, nao Wamisri waliokuwa pamoja naye wakala peke yao kwa sababu Wamisri hawangeweza kula pamoja na Waebrania, kwa sababu hilo ni jambo linalochukiza kwa Wamisri.+
32 Basi wakampa Yosefu chakula chake na ndugu zake chakula chao, nao Wamisri waliokuwa pamoja naye wakala peke yao kwa sababu Wamisri hawangeweza kula pamoja na Waebrania, kwa sababu hilo ni jambo linalochukiza kwa Wamisri.+