Mwanzo 45:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini sasa msikasirike wala kulaumiana kwa kuniuza huku; kwa sababu Mungu alinituma huku niwatangulie ili kuokoa uhai.+ Matendo 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini kukawa na njaa kali katika nchi yote ya Misri na Kanaani, ndiyo, dhiki kuu, na mababu zetu hawakuweza kupata chakula chochote.+
5 Lakini sasa msikasirike wala kulaumiana kwa kuniuza huku; kwa sababu Mungu alinituma huku niwatangulie ili kuokoa uhai.+
11 Lakini kukawa na njaa kali katika nchi yote ya Misri na Kanaani, ndiyo, dhiki kuu, na mababu zetu hawakuweza kupata chakula chochote.+