Mwanzo 47:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ila tu hakununua ardhi ya makuhani,+ kwa sababu makuhani walipata posho ya chakula kutoka kwa Farao, nao waliishi kwa kutegemea posho waliyopewa na Farao. Ndiyo sababu hawakuuza ardhi yao.
22 Ila tu hakununua ardhi ya makuhani,+ kwa sababu makuhani walipata posho ya chakula kutoka kwa Farao, nao waliishi kwa kutegemea posho waliyopewa na Farao. Ndiyo sababu hawakuuza ardhi yao.