- 
	                        
            
            Mwanzo 28:13, 14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
13 Na tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akasema:
“Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi unayoilalia, nitakupa wewe na uzao wako.*+ 14 Na hakika uzao wako utakuwa kama chembe za mavumbi ya ardhi,+ nawe utaenea mpaka upande wa magharibi na upande wa mashariki na upande wa kaskazini na upande wa kusini, na kupitia kwako na kupitia uzao wako familia zote duniani hakika zitabarikiwa.*+
 
 -