17Abramu alipokuwa na umri wa miaka 99, Yehova alimtokea na kumwambia: “Mimi ni Mungu Mweza-Yote. Tembea mbele zangu na ujithibitishe mwenyewe kuwa bila kosa.*
40 Akaniambia: ‘Yehova, ambaye nimetembea mbele zake,+ atamtuma malaika wake+ pamoja nawe, naye hakika ataifanikisha safari yako, nawe utamchukulia mwanangu mke kutoka katika ukoo wangu na kutoka katika nyumba ya baba yangu.+