Mwanzo 34:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Hata hivyo, siku ya tatu, walipokuwa bado wana maumivu, wana wawili wa Yakobo, Simeoni na Lawi, ndugu za Dina,+ wakachukua kila mmoja wao upanga wake, wakaenda ghafla katika jiji hilo na kumuua kila mwanamume.+
25 Hata hivyo, siku ya tatu, walipokuwa bado wana maumivu, wana wawili wa Yakobo, Simeoni na Lawi, ndugu za Dina,+ wakachukua kila mmoja wao upanga wake, wakaenda ghafla katika jiji hilo na kumuua kila mwanamume.+