Yoshua 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kura ya pili+ ilikuwa ya Simeoni, kwa ajili ya kabila la Simeoni+ kulingana na koo zao. Nao walipewa urithi kati ya urithi wa kabila la Yuda.+ Yoshua 21:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Majiji yote ambayo Walawi walipewa katika maeneo ya Waisraeli yalikuwa majiji 48 pamoja na malisho yake.+
19 Kura ya pili+ ilikuwa ya Simeoni, kwa ajili ya kabila la Simeoni+ kulingana na koo zao. Nao walipewa urithi kati ya urithi wa kabila la Yuda.+
41 Majiji yote ambayo Walawi walipewa katika maeneo ya Waisraeli yalikuwa majiji 48 pamoja na malisho yake.+