43 Zaidi ya hayo, akampandisha katika gari lake la pili la heshima, na watu walikuwa wakimtangulia na kusema kwa sauti, “Avrekh!”* Kwa hiyo Farao akamweka kuwa msimamizi wa nchi yote ya Misri.
29 Yosefu akaagiza gari lake litayarishwe, kisha akaenda kumpokea Israeli baba yake huko Gosheni. Alipokutana na baba yake, mara moja akamkumbatia* na kulia kwa muda.*