21 Basi viumbe wote walio hai waliotembea duniani wakafa+—viumbe wanaoruka, wanyama wa kufugwa, wanyama wa mwituni, viumbe wanaoishi katika makundi makubwa, na wanadamu wote.+
5 Naye hakujizuia kuuadhibu ulimwengu wa kale,+ bali alimlinda salama Noa, mhubiri wa uadilifu,+ pamoja na wengine saba+ alipoleta gharika juu ya ulimwengu wa watu wasiomwogopa Mungu.+