Mwanzo 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kisha Mungu akasema: “Na kuwe na mianga*+ katika anga la mbingu ili itenganishe mchana na usiku,+ nayo itakuwa ishara ya kuonyesha majira na siku na miaka.+ Zaburi 74:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Uliweka mipaka yote ya dunia;+Uliumba majira ya kiangazi na majira ya baridi kali.+ Mhubiri 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kizazi huenda, na kizazi huja,Lakini dunia inadumu* milele.+
14 Kisha Mungu akasema: “Na kuwe na mianga*+ katika anga la mbingu ili itenganishe mchana na usiku,+ nayo itakuwa ishara ya kuonyesha majira na siku na miaka.+