Zaburi 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ninapoziona mbingu zako, kazi za vidole vyako,Mwezi na nyota ambazo umetayarisha,+ Yeremia 31:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Yehova,Ambaye hutoa jua ili liangaze wakati wa mchana,Sheria za* mwezi na nyota ili ziangaze usiku,Anayeitibua bahari na kuyavuruga mawimbi yake,Ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi, anasema hivi:+
3 Ninapoziona mbingu zako, kazi za vidole vyako,Mwezi na nyota ambazo umetayarisha,+ Yeremia 31:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Yehova,Ambaye hutoa jua ili liangaze wakati wa mchana,Sheria za* mwezi na nyota ili ziangaze usiku,Anayeitibua bahari na kuyavuruga mawimbi yake,Ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi, anasema hivi:+
35 Yehova,Ambaye hutoa jua ili liangaze wakati wa mchana,Sheria za* mwezi na nyota ili ziangaze usiku,Anayeitibua bahari na kuyavuruga mawimbi yake,Ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi, anasema hivi:+