Mwanzo 1:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Zaidi ya hilo, Mungu akawabariki, na Mungu akawaambia: “Zaeni, muwe wengi, muijaze dunia+ na kuitiisha,+ na mtawale+ samaki wa baharini na viumbe wanaoruka angani na kila kiumbe aliye hai anayetembea duniani.” Mwanzo 10:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Hizo ndizo zilizokuwa familia za wana wa Noa kulingana na koo zao na mataifa yao. Kutokana nao, mataifa yalienea duniani kote baada ya Gharika.+
28 Zaidi ya hilo, Mungu akawabariki, na Mungu akawaambia: “Zaeni, muwe wengi, muijaze dunia+ na kuitiisha,+ na mtawale+ samaki wa baharini na viumbe wanaoruka angani na kila kiumbe aliye hai anayetembea duniani.”
32 Hizo ndizo zilizokuwa familia za wana wa Noa kulingana na koo zao na mataifa yao. Kutokana nao, mataifa yalienea duniani kote baada ya Gharika.+