Mwanzo 9:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hawa ndio wana wa Noa waliotoka ndani ya safina: Shemu, Hamu, na Yafethi.+ Baadaye Hamu akamzaa Kanaani.+ 19 Hao watatu walikuwa wana wa Noa, na watu wote duniani walitokana nao na kuenea kotekote.+
18 Hawa ndio wana wa Noa waliotoka ndani ya safina: Shemu, Hamu, na Yafethi.+ Baadaye Hamu akamzaa Kanaani.+ 19 Hao watatu walikuwa wana wa Noa, na watu wote duniani walitokana nao na kuenea kotekote.+