Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 34:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Wape Waisraeli maagizo haya: ‘Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani,+ nchi mtakayoirithi, hii ndiyo itakayokuwa mipaka ya nchi hiyo ya Kanaani.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 1:8-10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Wana wa Hamu walikuwa Kushi,+ Misraimu, Putu, na Kanaani.+

      9 Wana wa Kushi walikuwa Seba,+ Havila, Sabta, Raama,+ na Sabteka.

      Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.+

      10 Kushi akamzaa Nimrodi.+ Nimrodi alikuwa shujaa wa kwanza duniani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki