Hesabu 34:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Wape Waisraeli maagizo haya: ‘Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani,+ nchi mtakayoirithi, hii ndiyo itakayokuwa mipaka ya nchi hiyo ya Kanaani.+ 1 Mambo ya Nyakati 1:8-10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wana wa Hamu walikuwa Kushi,+ Misraimu, Putu, na Kanaani.+ 9 Wana wa Kushi walikuwa Seba,+ Havila, Sabta, Raama,+ na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.+ 10 Kushi akamzaa Nimrodi.+ Nimrodi alikuwa shujaa wa kwanza duniani.
2 “Wape Waisraeli maagizo haya: ‘Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani,+ nchi mtakayoirithi, hii ndiyo itakayokuwa mipaka ya nchi hiyo ya Kanaani.+
8 Wana wa Hamu walikuwa Kushi,+ Misraimu, Putu, na Kanaani.+ 9 Wana wa Kushi walikuwa Seba,+ Havila, Sabta, Raama,+ na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.+ 10 Kushi akamzaa Nimrodi.+ Nimrodi alikuwa shujaa wa kwanza duniani.