3 Basi Yona akatii neno la Yehova,+ akainuka na kwenda Ninawi.+ Sasa Ninawi lilikuwa jiji kubwa sana*—mtu anayetembea kwa miguu angezunguka jiji hilo kwa siku tatu.
41 Watu wa Ninawi watasimama katika hukumu pamoja na kizazi hiki nao watakihukumu, kwa sababu walitubu Yona alipowahubiria.+ Lakini tazama! hapa pana mtu mkuu kuliko Yona.+