Yoshua 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 wakaaji wote wa eneo lenye milima kuanzia Lebanoni+ hadi Misrefoth-maimu;+ na Wasidoni wote.+ Nitawafukuza* mbele ya Waisraeli.+ Utaigawanya nchi hiyo na kuwapa Waisraeli kuwa urithi wao, kama nilivyokuamuru.+ Marko 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Akatoka huko na kwenda kwenye maeneo ya Tiro na Sidoni.+ Akaingia katika nyumba na hakutaka mtu yeyote ajue, lakini hakuweza kuepuka kutambuliwa.
6 wakaaji wote wa eneo lenye milima kuanzia Lebanoni+ hadi Misrefoth-maimu;+ na Wasidoni wote.+ Nitawafukuza* mbele ya Waisraeli.+ Utaigawanya nchi hiyo na kuwapa Waisraeli kuwa urithi wao, kama nilivyokuamuru.+
24 Akatoka huko na kwenda kwenye maeneo ya Tiro na Sidoni.+ Akaingia katika nyumba na hakutaka mtu yeyote ajue, lakini hakuweza kuepuka kutambuliwa.