9 Alikuwa mwindaji hodari aliyempinga Yehova. Ndiyo sababu kuna msemo usemao: “Kama Nimrodi, mwindaji hodari aliyempinga Yehova.” 10 Ufalme wake ulianzia* Babeli,+ Ereki,+ Akadi, na Kalne, katika nchi ya Shinari.+
2 Baada ya muda Yehova akamtia Mfalme Yehoyakimu wa Yuda mikononi mwake,+ pamoja na baadhi ya vyombo vya nyumba ya* Mungu wa kweli, akavileta katika nchi ya Shinari*+ katika nyumba ya* mungu wake. Akaviweka katika hazina ya mungu wake.+