Zaburi 104:5, 6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ameiimarisha dunia juu ya misingi yake;+Haitasogezwa kutoka mahali pake* milele na milele.+ 6 Uliifunika kwa vilindi vya maji kama kwa vazi.+ Maji yalisimama juu ya milima.
5 Ameiimarisha dunia juu ya misingi yake;+Haitasogezwa kutoka mahali pake* milele na milele.+ 6 Uliifunika kwa vilindi vya maji kama kwa vazi.+ Maji yalisimama juu ya milima.