Hesabu 34:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Wape Waisraeli maagizo haya: ‘Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani,+ nchi mtakayoirithi, hii ndiyo itakayokuwa mipaka ya nchi hiyo ya Kanaani.+ Hesabu 34:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kisha utaendelea mpaka Yordani na kuishia kwenye Bahari ya Chumvi.+ Hiyo ndiyo itakayokuwa nchi yenu+ na mipaka inayoizunguka.’”
2 “Wape Waisraeli maagizo haya: ‘Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani,+ nchi mtakayoirithi, hii ndiyo itakayokuwa mipaka ya nchi hiyo ya Kanaani.+
12 Kisha utaendelea mpaka Yordani na kuishia kwenye Bahari ya Chumvi.+ Hiyo ndiyo itakayokuwa nchi yenu+ na mipaka inayoizunguka.’”