18 Absalomu alipokuwa hai, alikuwa amechukua na kujisimamishia nguzo katika Bonde la Mfalme,+ kwa maana alisema: “Sina mwana atakayeendeleza kumbukumbu ya jina langu.”+ Basi akaiita nguzo hiyo kwa jina lake, na tangu siku hiyo inaitwa Mnara wa Ukumbusho wa Absalomu.