15 Kisha Mungu akamwambia Abrahamu: “Kuhusu mke wako Sarai,*+ usimwite tena Sarai, kwa sababu jina lake litakuwa Sara.*16 Nitambariki na pia nitakupa mwana kupitia yeye;+ nitambariki Sara, naye atakuwa mataifa; wafalme wa mataifa watatoka kwake.”
12 Kisha Mungu akamwambia Abrahamu: “Usikasirishwe na jambo ambalo Sara anakuambia kuhusu mvulana huyo na kuhusu kijakazi wako. Msikilize,* kwa maana ule utakaoitwa uzao wako utapitia* kwa Isaka.+