26 Alitenda kwa njia yenye kuchukiza kabisa kwa kufuata sanamu zenye kuchukiza,* kama Waamori wote walivyokuwa wamefanya, ambao Yehova aliwafukuza kutoka mbele ya Waisraeli.’”+
11 “Manase mfalme wa Yuda amefanya mambo haya yote yenye kuchukiza; ametenda mambo maovu zaidi kuliko Waamori wote+ waliomtangulia,+ naye amesababisha watu wa Yuda watende dhambi kwa sanamu zake zenye kuchukiza.*