Isaya 45:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ninatengeneza nuru+ na kuumba giza,+Ninatokeza amani+ na kuumba msiba;+Mimi, Yehova, ninafanya mambo hayo yote. 2 Wakorintho 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Mungu ndiye aliyesema: “Nuru na iangaze kutoka katika giza,”+ naye ameangaza juu ya mioyo yetu ili kuimulika+ kwa ujuzi wenye utukufu kumhusu Mungu kupitia uso wa Kristo.
7 Ninatengeneza nuru+ na kuumba giza,+Ninatokeza amani+ na kuumba msiba;+Mimi, Yehova, ninafanya mambo hayo yote.
6 Kwa maana Mungu ndiye aliyesema: “Nuru na iangaze kutoka katika giza,”+ naye ameangaza juu ya mioyo yetu ili kuimulika+ kwa ujuzi wenye utukufu kumhusu Mungu kupitia uso wa Kristo.